UNICEF yasema ingawa hakuna kisa chochote cha kipindupindu mwaka huu Haiti vita haijaisha 14 Februari 2020 Habari kwa Ujumla Pakua Mwaka 2020 umeanza vyema kisiwani Haiti kwa kutokuwa na kisa chochote kipya cha kipindupindu baada ya maelfu ya watu kupoteza maisha kwa miaka 9 iliyopita na ugonjwa huo, limesema shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF. Audio Credit UN News/Brenda Mbaitsa Audio Duration 1'52" Photo Credit UNICEF/Marco Dormino Haiti kipindupindu afya