HAITI: Hali ya usalama bado si shwari, kikosi cha kimataifa cha usalama ni tegemeo- Salvador
- Magenge ya uhalifu yanazidi kutishia uhai wa raia
- Magenge hayo yamteka nyara mchana Katibu Mkuu wa Baraza la Taifa la Mpito
- Kikosi cha Kimataifa cha Usaidizi wa usalama ni nuru