Nchini Haiti, shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF kwa ufadhili kutoka Canada, wanaanzisha mradi wa kusogeza karibu na makazi ya wananchi huduma za usajili wa watoto ili wapatiwe vyeti vya kuzaliwa katika taifa hilo ambalo mtoto mmoja katiya 6 hana cheti cha kuzaliwa