UNHCR yasema maelfu wafungasha virago kukimbia machafuko mapya Darfur 28 Januari 2020 Habari kwa Ujumla Pakua Machafuko yanayoendelea El Geneina kwenye jimbo la Darfur Magharibi yamewalazimisha watu Zaidi ya 11,000 kukimbilia nchi jirani ya Chad kama wakimbizi limesema shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR. Audio Credit UN News/Grace Kaneiya Audio Duration 2'8" Photo Credit © UNHCR/Modesta Ndubi Darfur chad mapigano Sudan