UNICEF yasema homa ya vichomi na utapiamlo ni mtihani mkubwa kwa watoto Yemen 22 Januari 2020 Habari kwa Ujumla Pakua Homa ya vichomi na utapiamlo vimeelezwa kuwa ni moja ya changamoto kubwa kwa afya ya watoto nchini Yemen mbali ya changamoto zingine zinazosababishwa na vita vinavyoendelea, limesema shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF. Audio Credit UN News/Amina Hassan Audio Duration 2'47" Photo Credit OCHA/Giles Clarke Yemen watoto chanjo utapiamlo Homa ya kichomi