Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Zaidi ya wakimbizi 500 wa DRC wasaka hifadhi nchini Uganda

Zaidi ya wakimbizi 500 wa DRC wasaka hifadhi nchini Uganda

Pakua

Watu zaidi ya 500 kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC wamelazimika kusaka hifadhi katika nchi jirani ya Uganda kufuatia mapigano mapya yaliozuka juma lililopita nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC.

Audio Credit
UN News/John Kibego
Audio Duration
1'48"
Photo Credit
UNICEF/Madjiangar