Kifo cha mtu mmoja aliyekuwa na ebola chazua tafrani kwa jamii nchini DRC
Pakua
Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, DRC kumeripotiwa wagonjwa wapya saba wa ebola waliothibithishwa katika kipindi cha wiki moja iliyomalizika tarehe 19 mwezi huu wa Novemba katika majimbo ya Kivu Kaskazini na Ituri, limesema shirika la afya ulimwenguni, WHO.
Audio Credit
Assumpta Massoi
Sauti
2'16"