Yemen haki za mtoto bado ni njia panda wakati mkataba wa haki za mtoto ukitimiza miaka 30
Pakua
Nchini Yemen, muhula mpya wa shule ukianza huku mzozo ukiendelea, watoto milioni 2 hawawezi kwenda shule, idadi ikijumuisha nusu milioni ambao ni watoro wa shule tangu mzozo uanze nchini humo mwaka 2015.
Audio Credit
Grace Kaneiya/ Assumpta Massoi
Audio Duration
2'16"