Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Watoto wakimbizi wapata fursa kupata elimu ukimbizini

Watoto wakimbizi wapata fursa kupata elimu ukimbizini

Pakua

Nchini Lebanon mashirika ya kiraia yanaitikia wito wa Umoja wa Mataifa wa kusaidia watoto wakimbizi kuendelea na masomo hata baada ya kujikuta ukimbizini.

Audio Credit
Arnold Kayanda/ Brenda Mbaitsa
Audio Duration
1'47"
Photo Credit
UNifeed Video