Watoto wakimbizi wapata fursa kupata elimu ukimbizini
Pakua
Nchini Lebanon mashirika ya kiraia yanaitikia wito wa Umoja wa Mataifa wa kusaidia watoto wakimbizi kuendelea na masomo hata baada ya kujikuta ukimbizini.
Audio Credit
Arnold Kayanda/ Brenda Mbaitsa
Audio Duration
1'47"