Elimu kwa watoto wakimbizi bado ni ndoto kwa mujibu wa ripoti ya UNHCR 30 Agosti 2019 Habari kwa Ujumla Pakua Zaidi ya nusu ya watoto wakimbizi milioni 7.1 wa umri wa kwenda shule hawaendi shule, ripoti ya shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR iliyotolewa leo imebainisha. Assumpta Massoi na maelezo zaidi. Audio Credit Arnold Kayanda/ Assumpta Massoi Audio Duration 1'49" Photo Credit UNICEF/UN0161150/Anmar UNHCR wakimbizi elimu watoto Filipo Grandi