Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mlipuko wa surua DRC ni changamoto kwani ebola nayo imekita kambi

Mlipuko wa surua DRC ni changamoto kwani ebola nayo imekita kambi

Pakua

Wahudumu wa afya nchini Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo DRC, kwa kushirikiana na shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia Watoto UNICEF wanakimbizana na muda katika kampeni ya chanjo kwenye jimbo la ituri Kaskazini Mashariki mwa nchi hiyo baada ya kuzuka mlipuko wa surua uliosababisha karibu vifo 2000 nchi nzima tangu mwanzo wa mwaka huu huku waathirika wengi wakiwa ni watoto wa chini ya miaka mitano.

Audio Credit
Flora Nducha/ John Kibego
Audio Duration
1'55"
Photo Credit
© UNICEF/Marixie Mercado