Amerika ikifuatiwa na Afrika zinaongoza kwa visa vya mauaji yasiyo ya kukusudia
Pakua
Takriban watu 464,000 kote duniani waliuawa bila kukusudia mwaka 2017, idadi iliyopita kwa mbali ile ya watu 89,000 waliouawa kwenye mizozo na vita katika kipindi kama hicho, kwa mujibu wa utafiti uliofanyika dunia nzima kuhusu mauaji ya bila kukusudia mwaka 2019 na kuchapishwa leo na ofisi ya Umoja wa Mataifa inayohusisika na madawa na uhalifu (UNODC).
Audio Credit
Flora Nducha/ Jason Nyakundi
Audio Duration
3'36"