UDADAVUZI: Jinsi UN inavyochagiza 'dhamira ya kimataifa ya kupambana na rushwa'
Leo ni siku ya kimataifa ya kupinga rushwa. Nchi kote ulimwenguni zinahitaji kufanya kazi pamoja ili kuhakikisha kuna “dhamira ya kimataifa ya kupambana na ufisadi” kulingana na mkuu wa Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kupambana na Dawa za Kulevya na Uhalifu UNODC).