Wapinzani wana mchango katika mchakato wa amani Cameroon:Bachelet
Pakua
Baraza la haki za binadamu la Umoja wa Mataifa limeanza mkutano wake wa kawaida wa 41 huko Geneva Uswisi hii leo ambapo Kamishna Mkuu wa haki za binadamu Michelle Bachelet amezungumzia masuala ya ukiukwaji wa haki za binadamu katika maeneo mbalimbali duniani ikiwemo Sudan, Syria na Cameroon.
Audio Credit
UN News/Flora Nducha
Audio Duration
1'45"