Magonjwa yatokanyo na matumizi ya tumbaku yanagharimu dunia dola trilioni 1.4 kila mwaka- WHO
Pakua
Gharama za magonjwa yatokanayo na matumizi ya tumbaku kila mwaka ni dola trilioni 1.4 kote ulimwenguni kwa mujibu wa taarifa ya Shirika la afya duniani, WHO iliyotolewa leo Mei 31 kuadhimisha siku ya kimataifa ya kupinga matumizi ya tumbaku.
Audio Credit
Flora Nducha/ Assumpta Massoi
Audio Duration
3'17"