Vijana wengi kutoka barani Afrika ambao huchagua njia ya uhamiaji usio wa kawaida, ni kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo ukweli mkwamba mustakabali wao uko njiapanda na hawana matumaini mengine ya maisha kwa mujibu wa utafiti uliofanya na shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa maendeleo UNDP.