Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Chuja:

UNDP

Mafuta kisukuku yanachangia uchafuzi wa hewa ambao unaathiri mazingira na binadamu
© Unsplash/Juniper Photon

Mabadiliko ya tabianchi yanaweza kuwa mbaya kama saratani katika baadhi ya nchi duniani: UNDP 

Bila hatua za pamoja na za haraka, mabadiliko ya tabianchi yatazidisha ukosefu wa usawa na kupanua pengo katika maendeleo ya binadamu kulingana na jukwaa jipya lililopewa jina “Human Climate Horizons” lililozinduliwa leo na shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa maendeleo UNDP na maabara ya athari za mabadiliko ya tabianchi.

08 SEPTEMBA 2022

Katika jarida la mada kwa kina hii leo kutoka Umoja wa Mataifa, Flora Nducha anakuletea 

-Ripoti mpya iliyotolewa leo na shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa Maendeleo UNDP kuhusu maendeleo ya binadamu inaonyesha kuwa maendeleo hayo ya binadamu ynashuka kwa karibu asilimia 90 ya nchi duniani

Sauti
13'15"

13 OKTOBA 2020

Katika jarida la habari la Umoja wa Mataifa  hii leo, Flora Nducha anakuletea

-Katika siku ya kimataifa ya kupunguzahatari za majanga Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa antonio Guterres  ameonya kwamba bila udhibiti mzuri wa hatari za majanga , hali ambayo ni mbaya itazidi kubwa mbaya zaidi

-Mashirika ya Umoja wa Mataifa ya FAO, IFAD, WHO na ILO leo katika taarifa yao ya pamoja yameonya kwamba COVID-19 mbali ya kuathiri afya inaathiri maisha ya watu na mifumo ya chakula hivyo hatua zichukuliwe haraka kunusuru janga zaidi

Sauti
11'42"

21 SEPTEMBA 2020

Katika Jarida la Habari za Umoja wa Mataifa hii leo Flora Nducha anakuletea 

-Umoja wa Mataida waadhimisha miaka 75 tangu kuanzishwa mkuu wa Umoja huo asema pamoja na mafanikio makubwa yaliyopatikana safari bado ni ndefu inayohitaji mshikamano kunusuru kizazi hiki na vijavyo

-Tanzania inasema katika miaka 75 ya Umoja wa Mataifa kumekuwa na ushirikiano mkubwa na mashirika mbalimbali ya Umoja wa Mataifa ikiwemo la maendeleo UNDP, na la utalii UNWTO utamsikia Devotha Mdachi kutoka bodi ya utalii Tanzania

Sauti
14'51"