Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Teknolojia saidizi ni muarobaini kwa watoto wenye ulemavu- UNICEF

Teknolojia saidizi ni muarobaini kwa watoto wenye ulemavu- UNICEF

Pakua

Asilimia 75 ya watoto wenye ulemavu huko Ulaya ya Mashariki na Kati pamoja na Asia ya Kati hawapati elimu bora na jumuishi, limesema shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF hii leo.

Audio Credit
Arnold Kayanda/ Grace Kaneiya
Sauti
2'45"
Photo Credit
UN /Manuel Elias