Teknolojia saidizi ni muarobaini kwa watoto wenye ulemavu- UNICEF 7 Machi 2019 Habari kwa Ujumla Pakua Asilimia 75 ya watoto wenye ulemavu huko Ulaya ya Mashariki na Kati pamoja na Asia ya Kati hawapati elimu bora na jumuishi, limesema shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF hii leo. Audio Credit Arnold Kayanda/ Grace Kaneiya Sauti 2'45" Photo Credit UN /Manuel Elias UNICEF watoto wenye ulemavu CRC Ulaya Asia ya Kati