Guterres asema atatumia vikao vijavyo kuchagiza ushiriano wa kimataifa
Pakua
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterrres, amesema ingawa ushirikiano wa kimataifa unakumbwa na zahma, yeyé binafsi bado anaamini ndio njia sahihi ya kutatua matatizo yanayokumba dunia wakati huu wa utandawazi.
Audio Credit
Siraj Kalyango
Audio Duration
2'24"