06 Agosti 2018
Pakua
Jaridani hii leo Jumatatu ya Agosti 6, 2018 Assumpta Massoi anaangazia:
- Tetemeko la ardhi nchini Indonesia, mamia wajeruhiwa, UN yasema iko tayari kusaidia harakati za uokoaji.
- Polisi wanawake na mchango wao katika ulinzi wa amani wa Umoja wa Mataifa, Suzana Kaganda kutoka Tanzania afunguka.
- Kijana mmoja ana hofu na mashaka kuhusu maisha yake ya kijamii kwani ndoto za kuoa zinaingia doa kutokana na kukosa utaifa.
- Makala inamuangazia Profesa kutoka Finland aliyejikita katika uhifadhi wa misitu Tanzania, alizungumza na Flora Nducha.
- Mashinani leo tunakutana na Faiza Ally, mfanyabiashara na muigizaji kutoka Tanzania ambaye ametilia kipaumbele unyonyeshaji watoto wake maziwa yake. KARIBU!
Audio Credit
Assumpta Massoi
Audio Duration
11'40"