Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

WFP na serikali ya Tanzania kushirikiana kuwainua wakulima na wanaohitaji msaada wa chakula

WFP na serikali ya Tanzania kushirikiana kuwainua wakulima na wanaohitaji msaada wa chakula

Pakua

Serikali ya Tanzania na shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula diuniani WFP, wameafikiana kuhusu ubia ambao utawanufaisha wakulima wadogo wadogo wa Tanzania na maelfu ya watu wanaohitaji na kupokea msaada wa chakula  wa WFP barani Afrika.

Audio Credit
Siraj Kalyango/ Flora Nducha
Audio Duration
1'56"
Photo Credit
Wanfunzi wapokea chakula shuleni. Picha: WFP