Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wahamiaji sasa wamehamia njia ya Hispania

Wahamiaji sasa wamehamia njia ya Hispania

Pakua

Idadi ya wahamiaji wanaoingia Ulaya kupitia baharí ya Mediteranea ikiendelea kupungua, imeelezwa kuwa wahamiaji sasa wanatumia zaidi Hispania kama njia ya kuingia barani humo.

Shirika hilo limesema idadi ya wanaoingia kupitia Hispania imezidi ile ya walioingia kupitia Italia mwishoni mwa wiki likiongeza kuwa zaidi ya asilimia 35 ya wahamiaji wanaovuka bahari ya Mediteranea wamepitia magharibi mwa bahari hiyo ikiwani mara tatu ya waliosajiliwa kipindi kama hiki mwaka jana.

Audio Credit
Siraj Kalyango
Audio Duration
2'13"
Photo Credit
Italian Coastguard/Massimo Sestini