Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Hali niliyoikuta Sudan Kusini ni mbaya sana:Lowcock

Hali niliyoikuta Sudan Kusini ni mbaya sana:Lowcock

Pakua

Mkuu wa masuala ya kibinadamu wa Umoja wa Mataifa Mark Lowcock leo anahitimisha ziara nchini Sudan Kusini. Amesema alichokishuhudia huko kinatisha na kusikitisha, jitihada zaidi zinahitajika ili kuleta suluhu ya kisiana ya amani ya kudumu.

Audio Credit
UN News Grace Kaneiya
Audio Duration
2'3"
Photo Credit
UNMISS