Hali niliyoikuta Sudan Kusini ni mbaya sana:Lowcock
Pakua
Mkuu wa masuala ya kibinadamu wa Umoja wa Mataifa Mark Lowcock leo anahitimisha ziara nchini Sudan Kusini. Amesema alichokishuhudia huko kinatisha na kusikitisha, jitihada zaidi zinahitajika ili kuleta suluhu ya kisiana ya amani ya kudumu.
Audio Credit
UN News Grace Kaneiya
Audio Duration
2'3"