Kipindupindu chalipuka kambi ya wakimbizi kyangwali, 400 walazwa
Pakua
Wakati mamia ya wanaokimbia mzoozo nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) wakiendelea kumiminika nchini Uganda , wakimbizi sita wamethibitishwa kuaga dunai huku wengine zaidi ya 400, wakilazwa hospitalini baada ya kuugua ugonjwa unaoshukiwa kuwa kipindupindu katika kambi ya Kyangwali nchini Uganda.
Audio Credit
John Kibego
Audio Duration
1'21"