Misaada zaidi yahitajika kunusuru njaa Nigeria
Pakua
Melfu ya raia nchini Nigeria wanakabiliwa na njaa hususani katika maeneo ambayo yamedhibitiwa au kuvamiwa na kundi la kigaidi la Boko Haram.
Umoja wa Mataifa na mashirika yake yanahaha kutoa usaidizi wa kibinadamu wakati huu ambapo inaelezwa fedha zaidi zinahitajika ili kukidhi wingi wa mahitaji yanaoyoongezeka kila uchao. Ungana na FloraNducha katika makala ifuatayo.