Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

IOM yajiandaa kutoa misaada ya kibinadamu kabla ya uchaguzi wa Kenya

IOM yajiandaa kutoa misaada ya kibinadamu kabla ya uchaguzi wa Kenya

Pakua

Shirika la Kimataifa la Uhamiaji, IOM, limesema linaweka mikakati ya kujiandaa kutoa misaada ya kibinadamu nchini Kenya, siku chache kabla ya uchaguzi nchini humo hapo Jumatatu.

Ungana na Jumbe Omari Jumbe wa IOM akizungumza kuhusu suala hilo.