Suala la unyanyapaa bado ni kikwazo katika vita dhidi ya HIV:UM
Pakua
Ripoti hiyo iitwayo "uniting for universal access" inasisitiza uvumilivu sufuri dhidi ya maambukizi ya HIV, ubaguzi na vifo vitokanavyo na ugonjwa huo.
Rebecca Awiti ni muathirika wa Ukimwi nchini Kenya na pia ni mwanaharakati. Amezungumza na Irene Mwakesi wa Ofisi ya UM Nairobi na kueleza alivyokabili suala hilo: