Hatua zahitajika kuimarisha huduma za kujisafi kwa warohingya
Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF lina wasiwasi mkubwa juu ya ripoti ya kwamba wakimbizi wa Rohingya huko Bangladesh wako hatarini kukumbwa na magonjwa yatokanayo na matumizi ya maji yasiyo safi na salama kutoka visima vilivyo eneo la Cox’s Bazar.