Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mwanamke aliyejitolea kuwasaidia watoto wasichana na wanawake kwa jumla:Mukamabano

Mwanamke aliyejitolea kuwasaidia watoto wasichana na wanawake kwa jumla:Mukamabano

Pakua

Wakati dunia ikiadhimisha Siku ya Wanawake duniani kuna wanawake mbali mbali wanaojitoa kusaidia wanawake wenzao na wasichana. Miongoni mwao ni Marie Claudine Mukamabano kutoka nchini Rwanda ambaye anaishi Marekani. Marie ameanzisha kituo cha kuwalea watoto yatima nchini Rwanda. Yeye ni manusura wa mauaji ya kimbari lakini pia ni mwanzilishi wa kituo cha kulea watoto kiitwacho "Why Do I Exist". Kituo hiki kinawasaidia watoto wasichana na wanawake. Amezungumza na Mkuu wa Idhaaa hii Flora Nducha. Wasikilize...