Madawa ya kulevya yaliharibu sana maisha yangu – Ray C
Afya
Matumizi ya madawa ya kulevya yaliniathiri kimwili, kiakili, kiroho na kikazi. Hiyo ni kauli ya mwanamuziki mashuhuri Afrika Mashariki Rehema Chalamila almaarufu kama Ray C ambaye anatoka Tanzania.
Akihojiwa na Idhaa ya Umoja wa Mataifa kwa njia ya simu, katika siku hii ambayo ripoti mpya ya kimataifa kuhusu mihadarati inatolewa hii leo, Ray C ambaye kwa sasa yupo kikazi huko Nairobi nchini kenya amesema matumizi ya madawa ya kulevya yalisababisha apoteze mwelekeo wa maisha na kurudi sana nyuma kimaendeleo .
Sauti ya Ray C
Ray C akazungumzia kilichomchochea kutumia madawa hayo.
Sauti ya Ray C
Na sasa ana wito gani kwa vijana?
Sauti ya Ray C