Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wahamiaji wa ndani milioni 9.1 wanaishi sasa Afrika ya Kati na Afrika Mashariki, inasema UM

Wahamiaji wa ndani milioni 9.1 wanaishi sasa Afrika ya Kati na Afrika Mashariki, inasema UM

Ripoti mpya ya UM, iliotolewa mapema wiki hii, kuhusu wahamiaji wa ndani ya nchi (IDPs) waliopo katika maeneo ya Afrika Mashariki na Afrika ya Kati, imethibitisha kwamba kumalizikia mwezi Disemba 2008, jumla ya wahamiaji hao ilikuwa milioni 9.1.