Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mashambulio ya majengo ya UM Ghaza lazima yachunguzwe na tume huru, UNRWA yasisitiza

Mashambulio ya majengo ya UM Ghaza lazima yachunguzwe na tume huru, UNRWA yasisitiza

Kadhalika Shirika la UM Linalofarajia Wahamiaji wa KiFalastina wa Mashariki ya Karibu (UNRWA), limesema linataka kufanyike uchunguzi halali, ulio huru, kuhusu mashambulio ya majengo ya UNRWA yaliotoa hifadhi kwa watu waliokimbia mapigano, katika Jabaliya, ambapo watu 40 ziada waliuawa wiki hii.