Changanuo ya FAO juu ya hali ya chakula na mavuno 2008
Shirika la UM juu ya Chakula na Kilimo (FAO) Alkhamisi limechapisha ripoti yenye kuthibitisha katika 2008 ulimwengu ulishuhudia idadi kubwa ya mavuno ya mazao ya nafaka, jumla iliovunja rikodi, na yenye matarajio ya kukidhi mahitaji kwa miaka ya 2008/2009, na kuweka [kando] akiba wastani ya chakula duniani kwa matumizi ya baadaye.