Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

KM na wadau wa kidiplomasiya wasisitiza mapigano yasimamishwe haraka Ghaza na Israel kusini

KM na wadau wa kidiplomasiya wasisitiza mapigano yasimamishwe haraka Ghaza na Israel kusini

Ijumanne KM Ban Ki-moon alifanya mazungumzo, kwa kutumia njia ya mawasiliano ya televisheni, na wawakilishi wa kundi la wapatanishi wa pande nne kuhusu amani Mashariki ya Kati, ikijumlisha UM yenyewe, Umoja wa Ulaya, Urusi na Marekani.