Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mkuu wa UNRWA asema hali, kijumla, ni 'mbaya sana' kwa sasa Ghaza

Mkuu wa UNRWA asema hali, kijumla, ni 'mbaya sana' kwa sasa Ghaza

Kwenye mahojiano na Idara ya Habari ya UM Ijumanne, Karen AbuZayd, Kamishna Mkuu wa Shirika la UM la Kufarajia Wahamiaji wa KiFalastina wa Mashariki ya Karibu (UNRWA) alieleza ya kuwa hali ya vurugu katika Tarafa ya Ghaza hivi sasa, ni mbaya sana kushinda mifumko ya uhasama wa miaka iliopita, kwenye eneo hilo:~