Maambukizi mapya ya VVU yanaweza kupunguzwa watu wakipimwa mapema, inasema ripoti ya WHO
Wataalamu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) leo wamechapisha, kwenye jarida maarufu liitwalo The Lancet, ripoti ya matokeo ya utafiti kuhusu taratibu zitakazosaidia kudhibiti bora maambukizo ya UKIMWI ulimwenguni.