Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Huduma za WFP Afrika Magharibi zinahatarishwa na ukosefu wa fedha

Huduma za WFP Afrika Magharibi zinahatarishwa na ukosefu wa fedha

Shirika la Miradi ya Chakula Duniani (WFP) limetoa onyo linalosema huduma muhimu za ndege zinazotumiwa kuwapatia misaada ya kiutu mamia elfu ya watu maskini katika Afrika Magharibi zinahatarishwa kusitishwa, kwa sababu ya ukosefu wa misaada ya fedha kutoka wahisani wa kimataifa.