Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

KM anahimiza mchango wa dharura kukamilisha MDGs

KM anahimiza mchango wa dharura kukamilisha MDGs

KM BAN Ki-moon yeye kwenye taarifa yake aliwaambia viongozi wa dunia waliokusanyika kuzingatia Maendeleo ya Milenia ya kwamba wakati umewadia kwa jumuiya ya kimataifa kuingiza nishati mpya ya hamasa kwenye ushirikiano wa kimataifa unaohitajika kuyakamilisha Malengo ya Maendeleo ya Milenia (MDGs) kwa wakati, hasa ikiwa umma wa kimataifa umewania kihakika kupunguza, kwa nusu, umaskini, kutojua kusoma na kuandika na madhara mengineyo ya kiuchumi na jamii yanayosumbua mataifa yanayoendelea. KM BAN aliongeza taarifa yake kwa kukumbusha yafuatayo:~