Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mjadala wa jumla wa Baraza Kuu waendelea Makao Makuu

Mjadala wa jumla wa Baraza Kuu waendelea Makao Makuu

Baraza Kuu la UM leo linaendelea na mjadala wa wawakilishi wote, kwa siku ya nne mfululizo, ambapo mawaziri wakuu wa Uingereza, Nepal na Eritrea walitarajiwa kuchangisha kauli zao kwenye mahojiano ya jumla.