Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Taathira mbaya kwa umma kufuatia mapigano Usomali zaitia wahka ICRC

Taathira mbaya kwa umma kufuatia mapigano Usomali zaitia wahka ICRC

Kadhalika Kamati ya Kimataifa ya Msalaba Mwekundu na Hilali Nyekundu (ICRC) imetangaza kuwa na wasiwasi kuhusu taathira mbaya wapatazo umma kwa sababu ya mapigano yaliotanda Mogadishu karibuni. Msemaji wa ICRC, Anna Schaff aliwapatia waandishi habari Geneva Ijumaa tarifa ziada juu ya suala hili: ~~