Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Mzozo wa afya Ethiopia unakatisha tamaa, UM yaahidi kusaidia

Mzozo wa afya Ethiopia unakatisha tamaa, UM yaahidi kusaidia

Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kwamba tishio la kufumka kwa maradhi ya kuambukiza katika Ethiopia, ikichanganyika na tatizo la utapiamlo mbaya uliotanda kwenye maeneo kadha ni hali ambayo inakoroga huduma za kufadhilia mizozo ya kiutu yaiolivaa taifa hili la Pembe ya Afrika.~~ Sikiliza dokezo fafanuzi ya Paul Garwood, Msemaji wa WHO mjini Geneva kwenye idhaa ya mtandao.