4 Juni 2008
Baraza Kuu la UM Ijumanne lilifanyisha kikao maalumu kujadilia tatizo la kudhibiti biashara haramu ya kuvusha watu, kwa ajira isiokubalika kisheria, ambayo sasa hivi inaendelezwa na kupaliliwa kimataifa.
Baraza Kuu la UM Ijumanne lilifanyisha kikao maalumu kujadilia tatizo la kudhibiti biashara haramu ya kuvusha watu, kwa ajira isiokubalika kisheria, ambayo sasa hivi inaendelezwa na kupaliliwa kimataifa.