Baraza Kuu linajadilia biashara haramu ya kutorosha watu
Baraza Kuu la UM Ijumanne lilifanyisha kikao maalumu kujadilia tatizo la kudhibiti biashara haramu ya kuvusha watu, kwa ajira isiokubalika kisheria, ambayo sasa hivi inaendelezwa na kupaliliwa kimataifa.