Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

OCHA imeripoti mamilioni wanahitajia misaada ya kiutu Usomali

OCHA imeripoti mamilioni wanahitajia misaada ya kiutu Usomali

Katika mkutano na waandishi habari mjini Geneva, Elizabeth Byrs, Msemaji wa Shirika la UM juu Huduma za Dharura (OCHA), aliripoti kwamba mamilioni ya raia katika Usomali watahitajia kufadhiliwa, haraka, misaada ya kiutu ili kunusuru maisha ya umma ulioathiriwa na vurugu lilioselelea kwa muda mrefu katika taifa hili la Pembe ya Afrika.~~