FAO itaanzisha miradi maalumu ya kuyasaidia mataifa ya Afrika Magharibi kudhibiti bora chakula
Shirika la UM juu ya Chakula na Kilimo (FAO) limeanzisha miradi maalumu ya kuwasaidia wakulima katika nchi tano za Afrika Magharibi – ikijumuisha Guinea-Bissau, Liberia, Mali, Senegal na Sierra Leone - kujitegemea kiuchumi, kwa kuimarisha ukulima wa kisasa.