Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

ICTR imeamua kuendeleza kifungo cha maisha kwa aliyekuwa Waziri wa Fedha Rwanda

ICTR imeamua kuendeleza kifungo cha maisha kwa aliyekuwa Waziri wa Fedha Rwanda

Mahakama ya UM juu ya Rwanda (ICTR) iliopo Arusha, Tanzania imeamua kuendeleza kifungo cha maisha dhidi ya Emmanuel Ndindabahizi, aliyekuwa Waziri wa Fedha wa Rwanda.