Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Bw. Kingsley kuzionya serikali za Chad na Sudan kutanzua tofauti kati yao

Bw. Kingsley kuzionya serikali za Chad na Sudan kutanzua tofauti kati yao

Mratibu wa huduma za dharura wa Umoja wa mataifa huko Chad, ambako kuna maelfu na maelfu ya wakimbizi wa Kisudan kutoka jimbo la Darfur, ameonya kwamba kutaweza kutokea maafa makubwa ya kibinadamu, ikiwa serekali za nchi hizo mbili hazitotanzua tofauti kati yao na kutafuta njia za kusitisha ghasia.