Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Njia za kudumisha amani na maendeleo nchini Somalia

Njia za kudumisha amani na maendeleo nchini Somalia

Mjumbe maalum wa Katibu mkuu huko Somalia Bw Francois Fall alikutana na kundi la wajumbe wa kimataifa linalo jaribu kutafuta njia za kudumisha amani na maendeleo katika taifa hilo la pembe mwa afrika na kujadili njia za kuimarisha msaada wa kimataifa katika juhudi zao