Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

20 FEBRUARI 2024

20 FEBRUARI 2024

Pakua

Karibu kusikiliza jarida la habari za Umoja wa Mataifa hii leo ikiwa ni Siku ya Kimataifa ya Haki ya Kijamii Duniani. 

Jarida linaletwa kwako na LEAH MUSHI na kubwa hii leo ni mada kwa kina kutoka nchini Kenya ambako serikali na wadau wa wanyamapori wamechukua hatua kulinda moja ya Wanyama walio hatarini kutoweka , Faru. 

Pia utapata fursa ya kusikiliza muhtasari wa habari na ujumbe kutoka mashinani. 

Karibu. 

Audio Credit
Leah Mushi
Audio Duration
13'11"