Redio ni chombo cha mawasiliano kilicho rafiki
Pakua
Licha ya redio ambacho ni chombo cha kuaminiwa kwa miaka mingi katika usambazaji wa taarifa, kukabiliwa na changamoto nyingi katika nyakati hizi ambazo kuna utitiri wa teknolojia za usambazaji wa habari, bado inaonekana watu wana imani kubwa na chombo hiki kwa sababu mbalimbali. Wachache kati ya wengi, ni wadau hawa tuliozungumza kutoka Afrika Mashariki. Kwanza ni Rose Haji, mwanahabari mwandamizi wa siku nyingi nchini Tanzania akieleza kuhusu kazi kuu za redio.
Audio Credit
Anold Kayanda
Sauti
3'28"