Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

Wananchi wahamasishwa kuyalinda mazingira baada ya mafuriko Kalehe, DRC.

Wananchi wahamasishwa kuyalinda mazingira baada ya mafuriko Kalehe, DRC.

Pakua

Muungano wa mashirika ya kiraia katika eneo la Kalehe jimboni Kivu Kusini, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC wako katika harakati za kuhamasisha wananchi kupanda miti na kuchukua hatua nyingine zitakazosaidia kupambana na mabadiliko ya tabianchi baada ya eneo hilo kukumbwa na mafuriko yaliyosababisha vifo na uharibifu mkubwa mapema mwezi Mei Mwaka huu. Mwandishi wetu wa DRC George Musubao amefika huko na kutuandalia makala ifuatayo. Kwako George.

Audio Credit
Selina Jerobon/George Musubao
Sauti
4'38"
Photo Credit
UN News/George Musubao