Tuzo kwa Sprina mkulima aliyeachana na na kilimo cha tumbaku na kugeukia maharage
Pakua
Tuzo hiyo imetolewa na shirika la Umoja wa Mataifa la Afya duniani, (WHO) kwa kutambua mchango wa Sprina wa sio tu katika kukata shauri kuachana na kilimo cha tumbaku bali pia kuchukua hatua ya kukuza jamii yenye afya kupitia mlo wa maharage ambayo yana protini. Kufahamu kwa undani harakati za Sprina, ungana na Thelma Mwadzaya katika makala hii.
Audio Duration
4'1"