Jifunze Lugha ya Kiswahili: HAKIBIZA
Pakua
Katika kujifunza lugha ya Kiswahili, leo tunapata ufafanuszi wa neno "HAKIBIZA" kutoka kwa mtaalam wetu Onni Sigalla, Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA.
Audio Credit
Onni Sigalla
Audio Duration
1'11"